mwambelablog

Showing posts with label HABARI. Show all posts
Showing posts with label HABARI. Show all posts

Wednesday, 5 July 2023

HUAWEI AT MWC SHANGHAI 2023:BOOSTING 5G EVOLUTION TOWARDS 5.5G REVITALIZE THE DIGITAL ECONOMY

Huawei has shown up in full force for MWC Shanghai 2023, with their activities all falling under their theme of "GUIDE to the Intelligent World". This year, the company's activities include an experiential tour that takes audiences to multiple cities to learn about their technology and business, as well as the launch of its newest innovative products and solutions for 5GigaGreen, 5G intelligent core networks, Intelligent OptiX Networks, private line + X products, and other intelligent digital transformation solutions.

At these activities, Huawei will also host numerous roundtables and dialogues with global operators, industry partners, and opinion leaders, to explore a variety of topics which include speeding up 5G prosperity, advancing intelligent digital transformation, and striding towards the 5.5G era to realize business, industry, and social value. The company says its goal is to create new value for customers and revitalize the digital economy through sustained innovation.

Sabrina Meng, Huawei's Rotating Chairwoman and CFO, gave a keynote titled "Embracing 5G transformation". She said, "The digital infrastructure of the future intelligent world will be deeply integrated into every aspect of our lives, industry, and society. It won't be based on advancements in individual technologies, but rather on incredibly massive, complex systems – the convergence of multiple elements. It's going to require systems-level thinking and design. When watching a chess game, you can see the big picture. But when you're playing chess, you focus on the details. Likewise, systematic capabilities to integrate technology and transform management are critical for the future success of 5G. First, let's talk about integrating different technologies. We can achieve greater synergy across cloud, networks, edge, and devices through systematic design and innovation across domains. When coupled with optimization across software, hardware, chips, and algorithms, we can address the challenges associated with developing complex solutions for vastly different industrial scenarios. Next, management transformation. Digital and intelligent transformation is not just about technology itself. It's more about transforming your approach to management. Going digital requires redefining the relationships between people, events, things, and theory, and adopting a more open, forward-looking management approach to address future challenges."

There are currently over 1.2 billion 5G users worldwide, and operators who moved quickly to develop 5G are already enjoying the first wave of benefits. This is thanks to the increasing network requirements being set by new applications in various markets. In the consumer market, new services like New Calling, cloud phones, and glasses-free 3D require faster data rates and lower latency, while in the industrial market, the RedCap ecosystem has matured, the passive IoT market is expanding, and the Internet of Vehicles (IoV) requires higher uplink speeds. These all-scenario applications are expected to result in 100 billion connections. These new service models are also expected to drive industry upgrade that will create a second wave of benefits.

Commercial 5G services hit the market four years ago, and has since been introduced to more than 17,000 private-network projects around the world. Both revenue from 5G private networks and the number of industrial connections have tripled. In addition, many operators have leveraged the CNY10 billion in revenue earned from 5GtoB private networks to drive a CNY100 billion increase in DICT revenue from cloud, data storage, and platform services. While many 5GtoB services were piloted in China, they have since expanded to other parts of the world, and have been commercially replicated in Asia Pacific, Europe, the Middle East, and Africa. These services allow industry customers to reduce costs and improve efficiency, while enabling intelligent digital transformation in industries like manufacturing, ports, mines, oil fields, and healthcare.

5.5G is also rapidly approaching for the communications industry. 5.5G technologies are expected to improve network capabilities 10-fold and create 100 times more business opportunities for operators. At this year's MWC Shanghai, Huawei is showcasing four of the major features of 5.5G – 10 Gbit/s downlink, 1 Gbit/s uplink, 100 billion connections, and native AI. It is also exploring the five connectivity areas expected to go mainstream with 5.5G – connectivity for people, for things, for vehicles, for industries, and for homes. Huawei has already started helping a number of operators around the world begin commercial verification of 5.5G. The 5.5G industry will continue growing quickly as the first release of 5.5G standards is expected to be frozen in the first half of 2024 and related technologies have already been extensively verified.

MWC Shanghai 2023 runs from June 28 to June 30 in Shanghai, China. Huawei will showcase its products and solutions at stands E10 and E50 in Hall N1 of Shanghai New International Expo Centre (SNIEC). Together with global operators, industry professionals, and opinion leaders, we dive into topics such as speeding up 5G prosperity, striding towards the 5.5G era, and intelligent digital transformation. 5.5G creates new business value in areas like connecting people, Internet of Things (IoT), and Internet of Vehicles (IoV), supporting countless industries as they move towards an intelligent world

Monday, 1 May 2023

PROF.MWERA:AFUNGUKA UMUHIMU WA MAFUNZO YA VETA KWA VIJANA NCHINI

Mkurugenzi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Prof. Mwera Foundation ya mkoani Mara,Hezbon Mwera, akizungumza na wadau wa sekta ya elimu na walimu katika mkutano wa wadau wa elimu 2023 Mkoa wa Singida.

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Peter Serukamba (kushoto) akimkabidhi cheti Mkurugenzi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Prof.Mwera Foundation ya mkoani Mara,Hezbon Mwera, baada ya taasisi hiyo kutoa baadhi ya tuzo za heshima kwa washindi.
Mkurugenzi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Prof. Mwera Foundation ya mkoani Mara,Hezbon Mwera (kulia) akiwa meza kuu na viongozi waliohudhuria mkutano huo. Kutoka kushoto ni Afisa Elimu Mkoa wa Singida, Dk.Baganda Elpidius, Mkuu wa Wilaya ya Singida, Mhandisi Paskas Muragili, Katibu Tawala Tawala, Mkoa wa Singida, Dk.Fatma Mganga, Mkuu wa Mkoa wa Singida, Peter Serukamba, Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Lucy Boniface na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Singida, Lucia Mwiru.
Mkurugenzi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Prof.Mwera Foundation ya mkoani Mara,Hezbon Mwera, akiwa na Afisa Elimu Mkoa wa Singida, Dk.Baganda Elpidius baada ya kumalizika kwa mkutano huo.
Mkurugenzi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Professor Mwera Foundation ya mkoani Mara,Hezbon Mwera (kulia) akiwa kwenye mkutano huo.
Wadau wa sekta ya elimu na walimu wakiwa kwenye mkutano huo.
Taswira ya makutano huo.

Na.Alex Sonna-SINGIDA

MKURUGENZI wa Taasisi isiyokuwa ya Kiserikali ya Professor Mwera Foundation,Hezbon Mwera ameitaka jamii kuwapeleka katika Vyuo vya Ufundi wanafunzi waliomaliza au wanaosubiria matokeo ya kidato cha nne na darasa la saba ili waweze kusomea kozi za muda mfupi ambazo zitawasaidia kuongeza utaalamu Pia,ameiomba serikali kuanzisha mfuko wa elimu katika kila Halmashauri lengo likiwa ni kusimamia ubora wa elimu.

Prof.Mwera ameyasema wakati akizungumza na walimu hao kwenye mkutano wa wadau wa elimu mkoa wa Singida wa mwaka 2023 ambapo amesema kwa kusoma kozi za muda mfupi zitawaongezea sifa mbalimbali katika utendaji kazi wao katika miaka ya baadae. Pia ameziomba Halmashauri kuanzisha mfuko wa elimu kwani utasaidia kuweka sawa ubora wa elimu pia kusaidia vijana wenye uhitaji ndani ya halmashauri zao. Vilevile, amesema wazazi wana jukumu la kuhakikisha mwanafunzi anapata chakula kipindi anachokuwepo shuleni ili kumfanya azidi kuelewa kwani baadhi hushindwa kufanya vizuri kutokana na njaa. “Utoaji wa chakula sehemu zingine wameanza na uji,hili ni suala muhumu,siku moja muwaite wazazi kwenye kikao muwashindishe na njaa kuanzia asubuhi mpaka jioni ili waone umuhimu wa watoto kupatiwa chakula shuleni. “Mwingine unamwelewesha lakini anaona serikali ina wajibu wa kufanya kila kitu ikiwemo kutoa chakula hapana, Serikali haiwezi kufanya kila kitu,” amesema Mkurugenzi huyo. Mkurugenzi huyo amesema mpaka sasa wamewasaidia vijana zaidi ya 3500 ambao kibajeti ni zaidi ya shilingi bilioni 3 kupata elimu ya ufundi bure bila malipo toka 2019 mpaka sasa kupitia chuo cha Tarime VTC Chenye usajili namba REG/NACTVET/0587 Kinachomilikiwa na Taasisi ya Professor Mwera Foundation. Amesema pia wanawasaidia watoto yatima ambao wanaishi katika mazingira magumu kuanzia elimu msingi sekondari pamoja na vyuo vya ufundi. “Tunafursa ya kusaidia wale wanaotoka katika mazingira magumu ili waweze kufikia malengo.Maisha haya tunaishi kwa ajili ya binadamu wenzetu.Mipango tunayoweka hatuwezi kufanikiwa pasipo kupitia kwa binadamu wenzetu. Tunapotamani kushikwa mkono nasi pia lazima tushike mkono watu wenye uhitaji.. tutendee watu yale tunayotamani kutendewa pia. “Haya tuliyofanya inawezekana tukashindwa kuona faida yake kwa sasa, lakini kizazi kijacho kitakuja kufurahi kwa haya tunayoyafanya kwa sasa. “Sisi tunasisitiza vijana kujiunga na vyuo vya ufundi na mwaka jana zaidi ya vijana 500,000 waliofanya mitihani waliopata divison one mpaka three ni zaidi ya 150,000, division Four mpaka ziro ni zaidi ya nusu ya waliofanya mtihani,” amesema Prof.Mwera Amesema vijana hao wako wapi wanafanya nini, hivyo ni lazima wahakikishe wanaenda katika vyuo vya ufundi ambayo vitawasaidia kupata ujuzi badala ya kupotelea mitaani na kuingiza Serikali hasara ya kurasimisha mafunzo yaliyopatikana nje ya mfumo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu.

Serikali kupitia Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imeipatia kibali Taasisi ya Professor Mwera Foundation kuhamasisha vijana kujiunga na vyuo vya ufundi Stadi Nchi nzima kazi ambayo tayari inaendelea.

Friday, 28 April 2023

ROYAL TOUR YAONGEZA MAPATO NA KULETA HAMASA KWA WATALII DUNIANI.

 Na Deborah Lemmubi - Dodoma.


Pichani ni Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii na Mwenyekiti Kamati ya Kutangaza Tanzania Royal Tour Dkt.Hassan Abbasi akizungumza na waandishi wa Habari kwenye ukumbi wa Habari Maelezo Jijini Dodoma.


Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii na Mwenyekiti Kamati ya Kutangaza Tanzania Royal Tour Dkt.Hassan Abbasi amesema mapato ya utalii yameongezeka maradufu kutokana na watalii kuongezeka nchini ikiwa ni matunda ya Royal Tour, ambapo mapato ya jumla ya sekta ya utalii yameongezeka kutoka Trilioni 3.01 mwaka 2021 hadi Trilioni 5.82 na kuifanyaTANAPA na NCAA kuvunja rekodi ya mapato.


Dkt Abbasi ametoa Takwimu hizo Aprili 28,2023 Jijini Dodoma wakati akielezea mafanikio kumi ya mwaka mmoja tangu Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alipozindua filamu ya Royal Tour jijini Arusha na hatimaye watanzania wengi kuiona kwa mara ya kwanza filamu ya “TANZANIA; THE ROYAL TOUR"


Aidha ameeleza jinsi ROYAL TOUR ilivyojenga hamasa kwa watalii na wawekezaji, sasa hamasa hiyo pia imekuwa na manufaa kwa sekta ya usafiri wa Anga kama takwimu za Manufaa kwa Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro pekee kama sampuli ya ndege za Kimataifa Zaongeza Ruti Tanzania Miruko ya jumla ya ndege za kimataifa KIA iliongezeka kwa asilimia 28 kutoka miruko 6,115 April 2021 hadi 7,850 April, 2023.


"kutokana na watalii kuongezeka nchini ikiwa ni matunda ya Royal Tour, mapato ya jumla ya sekta hii yameongezeka kutoka Dola za Marekani 1.310.34 (Sawa na TZS Trilioni 3.01) mwaka 2021 hadi Dola za Marekani,527.77 (sawa la TZS Trilioni 5.82) imefanya Tanapa na NCAA wamevunja rekodi ya mapato".


Dkt Abbasi Amesema Royal Tour sio mwisho ni mwanzo wa kuitangaza nchi kimataifa zaidi hivyo Kamati ya mwaka mmoja sasa, imepokea na inaendelea kuchambua “Royal Tours” nyingine zijazo na Maombi Kujitangaza Ligi Kubwa za Ulaya na Marekani Kutokana na hamasa ya Royal Tour klabu mbalimbali za Ligi Kubwa Duniani hasa Uingereza, Hispania na Marekani wapo katika mazungumzo nazo na wameshapokea ofa zao


Ushiriki wa Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan  katika filamu ya Royal Tour umeleta mafanikio ambapo Novemba mwaka jana huko Dallas,Texas, USA, Taasisi ya Tuzo za Afrimma ilimtangaza Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Rais Mwanamke wa kwanza Afrika Kushinda Tuzo ya Mageuzi Katika Uongozi wakitamka bayana kuwa mojawapo ya vigezo na mafanikio ni ushiriki wake katika Royal Tour".


Mpaka kufikia Sasa kuna  wastani wa takribani watu Bilioni 1.2 wamejihusisha na Royal Tour iwe ni kwa kuona,kusikia,kuangalia au kuambiwa na mtu mwingine habari za Makala hii ya Royal Tour.

Wednesday, 26 April 2023

ZAIDI YA WATU MILIONI 2.9 HUPOTEZA MAISHA KUTOKANA NA AJALI NA MAGONJWA YATOKANAYO NA KAZI.

 

Pichani,Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi,Vijana,Ajira, na Wenye Ulemavu Mhe Prof.Joyce Ndalichako akizungumza na wanahabari jijini Dodoma Leo Apr 26,2023.

Na Deborah Lemmubi - Dodoma.


Takwimu za kidunia  zilizotolewa na Shirika la Kazi Duniani (I.L.O) za mwaka 2022 zinaonesha kwamba zaidi ya watu milioni mbili na laki tisa (2.9) hupoteza maisha kutokana na ajali na magonjwa yanayotokana na kazi.



Pia zaidi ya wafanyakazi milioni 402 huumia wakiwa kazini na hivyo kushindwa kutekeleza majukumu yao kwa kipindi chote wanachopatiwa matibabu hadi hapo watakapopona


Akitoa taarifa kwa vyombo vya Habari leo  Aprili 26,2023 Jijini Dodoma kuelekea Maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya mahala pa kazi,Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi,Vijana,Ajira, na Wenye Ulemavu Mhe Prof.Joyce Ndalichako amesema Kwa upande wa Tanzania jumla ya ajali na magonjwa yaliyoripotiwa katika Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi kuanzia Julai 2019 hadi Juni 2021 ni ajali 4,993 na magonjwa 249. Katika ajali hizo, vifo vilikuwa 217.



"Takwimu hizo ni kubwa sana zinaathiri utendaji kwa kuwa zinasababisha upotevu wa maisha ya Wafanyakazi na pia kuathiri shughuli wakati wafanyakazi walioumia wakiendelea kupata matibabu. Kwa mantiki hiyo, ni dhahiri kwamba suala la ajali na magonjwa yatokanayo na kazi linahitaji jitihada za makusudi katika kukabiliana nalo".


Serikali ya JMT inatambua umuhimu wa kulinda Nguvu Kazi ya Taifa. Kupitia Taasisi yake ya OSHA

Serikali inaendelea kusimamia kwa karibu utekelezaji wa Sheria Na. 5 ya Afya na Usalama Mahali pa Kazi ya mwaka 2003 miongoni mwa wadau na Watanzania wote kwa ujumla. Lengo ni kuhakikisha kwamba maeneo yote ya kazi Nchini yanakuwa na mifumo madhubuti ya kuwakinga wafanyakazi dhidi ya ajali na magonjwa yatokanayo na kazi".


Ambapo Prof.Ndalichako amesema kuwa maadhimisho hayo yatafanyika kitaifa Mkoani Morogoro katika viwanja vya Tumbaku Aprili 28,2023 na Lengo kubwa la maadhimisho hayo ni kuendeleza kampeni za kuhamasisha na kuweka mazingira salama katika sehemu za kazi miongoni mwa wadau kupitia kauli mbiu mbali mbali ambazo hutolewa na Shirika la Kazi Duniani ambapo kauli mbiu ya mwaka huu ni: “Mazingira Salama na Afya kazini ni Kanuni na Haki ya Msingi Mahali pa Kazi” (A Safe and Health Working Environment is a Fundamental Principle and Right at Work).


Kauli mbiu hiyo inatokana na Azimio la Wanachama wa Shirika la kazi Duniani (ILO) katika kikao cha Juni 2022 kilichofanyika huko Geneva Uswisi, na kuamua kuwa suala Usalama na Afya mahali pa kazi liwe mojawapo ya Kanuni na Haki tano za msingi kwa wafanyakazi mahali pa kazi,"



Na kuongeza kuwa "Kanuni na Haki nyingine za msingi

kwa wafanyakazi ni uhuru wa kujumuika na haki ya majadiliano kazini; kukomesha aina zote za kazi ya kulazimishwa; kukomesha ajira za watoto; na kuondolewa kwa ubaguzi katika suala la ajira na kazi".


Kwa upande wake Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda amesema kuwa moja kati ya eneo ambalo ajali nyingi zinaripotiwa ni katika sekta ya Uzalishaji ambapo imeajiri vijana wengi huku wengine wakiwa hawana ujuzi wa kutosha katika nafasi wanazofanyia kazi.



"Ukweli ni kwamba eneo la Uzalishaji lina matukio mengi ya ajali na hii ni kutokana na vijana wengi kujikita katika eneo hilo kujiajiri ama kuajiriwa huku wengine wakifanya tu bila kuwa na ujuzi wa kutosha au taaluma kwani eneo hilo mara nyingi wanaangalia nguvu sana kuliko taaluma ndio maana ajali zinakuwa nyingi".


Bi.Mwenda ameongeza kuwa OSHA imejipanga vyema kuelekea maadhimisho hayo ya 19 ambapo washiriki wote watapatiwa Mafunzo ya Usalama na Afya miongoni mwa makundi mbali mbali wakiwemo wajasiriamali wadogo, wafanyakazi wa viwandani, wachimbaji wadogo pamoja na watu wenye ulemavu.



"Pia OSHA tutajikita katika kutoa mafunzo kwa Sekta binafsi na zile zisizo rasmi kwa sababu wengi hawapo kwenye mfumo jambo ambalo linawafanya kuwa katika mazingira hatarishi na kufanya kazi bila kuzingatia sheria za usalama na afya mahali pa kazi".


Siku ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi Duniani ilianza mwaka1996 Nchini Marekekani Katika Jiji la New York, ambapo waathirika wa watu walioumia na kupoteza maisha wakiwa kazini hukumbukwa. Maadhimisho hayo yalikuwa yakifanywa na Chama Cha Wafanyakazi Duniani. Ilipofika mwaka 2001,Shirika la Kazi Duniani liliona kuwa ni busara kubadilisha madhumuni ya siku hiyo na kuiita “Siku ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi Duniani.


Pia haya ni Maadhimisho ya 19 kwa Tanzania ambapo kwa mara ya kwanza tulianza kuadhimisha mwaka 2004.

Wednesday, 19 April 2023

SERIKALI INAFANYA MAGEUZI KATIKA SEKTA YA ELIMU

 

Serikali inafanya mageuzi katika sekta ya elimu kwa kuwa na sera na mitaala itakayowezesha wahitimu kuwa na Maarifa, Stadi, ujuzi utakaowawezesha kujiamini, kujiajiri na kuajirika katika mazingira ya utandawazi na kukidhi mahitaji ya soko.

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo wakati akimuakilisha Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda katika uzinduzi wa Mkutano wa 31 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara uliofanyika jijini Arusha.

Katibu Mkuu huyo amesema wizara inaendelea kutekeleza vipaumbele vilivyoinishwa katika bajeti ya mwaka 2022/23 ambavyo ni mapitio ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014, Sheria mbalimbali, mabadiliko ya Mitaala pamoja na kuangalia suala zima la idadi na ubora stahiki wa walimu, wakufunzi na wahadhiri pamoja na mahitaji ya miundombinu na vitendea kazi.

“Nitoe rai kwa Menejimenti, Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Wizara na Watumishi wote kwa ujumla kwa pamoja tuendelee kushirikiana ili kuhakikisha kuwa tunafanya kazi kwa bidii, weledi na nidhamu ya hali ya juu katika kutekeleza majukumu ya wizara yetu kwa ufanisi ili elimu inayotolewa nchini iwe katika kiwango bora na cha ushindani kitaifa na kimataifa” amesema Katibu Mkuu huyo

Prof. Nombo ameongeza kuwa wizara imeshafanya mapitio ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 na imekamilisha Rasimu ya Sera toleo la Mwaka 2023, ambapo kwa sasa inaendelea kupokea maoni kutoka kwa wadau ili kukamilisha mchakato wa uandishi wa Sera Elimu na Mafunzo itakayozingatia mahitaji ya jamii na soko la ajira la ndani na nje pamoja na mabadiliko ya sayansi na teknolojia.

Aidha, amewataka watumishi wa wizara hiyo kutumia mafunzo mbalimbali wanayopata kufanya kazi kwa umahiri katika kusimamia na kushiriki ipasavyo katika hatua zote za utekelezaji wa Sera na Mitalaa inayohuishwa ili kuleta tija katika kuendana na kasi ya maendeleo ya sayansi na teknolojia jambo ambalo litawezesha vijana kuwa na uwezo, ujuzi, maarifa, umahiri na ubunifu stahiki na kuweza kuingia katika ushindani wa soko la ajira la ndani na nje ya nchi.

Akizungumza katika Mkutano huo Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Felician Mtahengerwa akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.John Mongela ameipongeza Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mageuzi makubwa yanayoendelea kufanyika katika mabadiliko ya mitaala na mapitio ya Sera ya Elimu na mafunzo ya mwaka 2014 ambayo yanalenga kuwajengea vijana wa kitanzania umahiri na ujasiri utakao wawezesha kushindana katika soko la Dunia la ajira.

Mhe. Mtahengerwa amewaambia wajumbe wa Baraza hilo kuwa Serikali inatambua uwepo na mchango wa mabaraza ya wafanya kazi nakuwataka kuwa watetezi wa watu na kuacha kutumika kisiasa, huku akisisitiza umuhimu wakutumia lugha za staha wakati wa kuwasilisha hoja na mambo muhimu yanayolenga kuinua hali za wafanya kazi.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Mkuu Dkt. Franklin Rwezimula amesema baraza la wafanyakazi ni matokeo ya sera ya kuwashirikisha wafanyakazi mambo mbalimbali yanayotokea kwenye maeneo ya kazi, hivyo uwepo wa mkutano huu ni utekelezaji wa sheria, kanuni, taratibu na miongozo ya ushirikishwaji na majadiliano ya pamoja katika utumishi wa umma.

Naye Katibu wa Baraza hilo Huruma Mageni amesema kauli Mbiu ya Mwaka 2023 ya Baraza hilo ni “Sera na Mitaala Bora kwa Maendeleo Endelevu ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ubunifu, kauli ambayo inasadifu umuhimu wa kuwa na mitaala pamoja na Sera zinazoendana na mahitaji ya sasa ya sayansi na teknolojia ili kuwafanya vijana wa kitanzania kuajirika na kujiajiri

Thursday, 13 April 2023

HUAWEI CALLS FOR A 'NON-STOP' DIGITAL FUTURE FOR AFRICA'S BANKING INDUSTRY

 [Cape Town, ] Huawei today announced its ‘Non Stop Banking’ initiative. Unveiled at the Huawei Intelligent Finance Summit for Africa 2023, the initiative calls for hand-in-hand collaboration between the ICT and banking industries and facilitate a digital future of ‘non-stop’ services, ‘non-stop’ development, and ‘non-stop’ innovation.

In a keynote speech announcing the initiative, Leo Chen, president of Huawei Sub-Saharan Africa Region spoke about why going digital has become such a major imperative for the banking industry. Not only does it make it easier for banks to broaden their customer base, he said, it also saves operational costs, allows them to develop new products, and deepen the customer relationship, thus generating revenues for banks.  

In Africa, he added, there’s an even greater imperative for banks to embrace digitization, as it allows for greater financial inclusion. While Chen lauded the innovative work done by many African banks in embracing digitization, he pointed out that all players in the industry need to go further if they’re to embrace the ‘non-stop’ approach that will characterise the future of banking.

Huawei has already served more than 2500 financial customers in over 60 countries and regions, including 50 of the world's top 100 banks. Numerous Huawei technologies, Chen said, are helpful on this front. Over the years, it has provided the foundation and backbone for the digitalization of the banking industry in Africa by supporting the construction of the continent’s ICT infrastructure and digital connectivity in rural areas. Its extensive focus on research and development (R&D), meanwhile, means that it’s well-poised to help the industry shape its future too.

From a technical perspective, he pointed to Huawei's strength in storage, fibre optic networks, IP networks and data communication, which enable ‘multi-domain collaboration’ solutions for banks. For example, its ‘storage and optical connection coordination (SOCC)’ solutions can reduce system switchover time from two minutes to two seconds after a network breakdown, ensuring zero transaction interruptions. The multilayer ransomware protection (MRP) technology, meanwhile, can provide 6-layer protections, from storage, to network, to applications and other layers. It enables a reliable and secure ‘end-to-end’ protection to the whole system. Finally, Huawei’s intelligent network O&M solutions enable faults to be detected in one minute, diagnosed in three minutes, and rectified in five minutes.

Huawei Cloud, the world's fastest-growing major cloud service provider, can additionally support the hybrid multi-cloud service required by banks. Huawei’s digital energy solutions, meanwhile, can help to provide an uninterrupted and green power supply for the banking sector. This effectively addresses power deficit issues and supports ‘non-stop’ banking.

That kind of technological innovation will be important because, as Jason Cao, CEO of Huawei Global Digital Finance pointed out, financial services are becoming mobile and intelligent at a blistering pace.

“The financial industry should pay acute attention to users and their demands, embracing changes,” he said. “Huawei is dedicated to helping its African financial customers address challenges and accelerate changes across six fields: shifting from transaction to digital engagement, cloud-native and agile businesses, data democratization, secure and reliable infrastructure, hybrid multi-cloud and Lego-style modular services, and automated and predictable operation.”

“In this way, Huawei will facilitate financial digitalization and innovatively improve productivity in Africa. Revolving around stability, agility, and intelligence, Huawei aims to build ‘non-stop’ financial services, and achieve ‘non-stop’ development alongside ’non-stop’ innovation,” he added.

Beyond technology, Huawei issued a call for all parties in the industry to come together and build more robust ICT infrastructure, facilitate more measures and policies to encourage digital finance innovation, cultivate a sound innovative ecosystem, and train more digital talent for the industry.

Huawei is particularly active on the last two points. Huawei Cloud’s Spark programme, for example, has pledged to assist 1 000 SMEs over the next three years. And having already trained more than 80 000 digital talents in Africa, it has launched the ‘LEAP’ digital talent training programme in Sub-Saharan Africa region, aiming to train another 100 000 people in the next three years.

The Huawei Intelligent Finance Summit for Africa 2023 brought together more than 200 attendees, including key industry opinion leaders, as well as executives from major banks across Africa.

STEADY OPERATIONS,SUSTAINABLE SURVIVAL AND DEVELOPMENT

Eric Xu speaking at the press conference

[Shenzhen, China] Huawei released its 2022 Annual Report today. The company reports steady operations throughout 2022, having generated CNY642.3 billion in revenue and CNY35.6 billion in net profits. Huawei continues to strengthen investment in R&D, with an annual expenditure of CNY161.5 billion in 2022, representing 25.1% of the company's annual revenue and bringing its total R&D expenditure over the past 10 years to more than CNY977.3 billion.

"In 2022, a challenging external environment and non-market factors continued to take a toll on Huawei's operations", said Eric Xu, Huawei's Rotating Chairman, at the company's annual report press conference. "In the midst of this storm, we kept racing ahead, doing everything in our power to maintain business continuity and serve our customers. We also went to great lengths to grow the harvest – generating a steady stream of revenue to sustain our survival and lay the groundwork for future development."

Also present at the event was Sabrina Meng, Huawei's CFO. She noted, "Despite substantial pressure in 2022, our overall business results were in line with forecast. At the end of 2022, our liability ratio was 58.9% and our net cash balance was CNY176.3 billion. In addition, our balance of total assets reached one trillion yuan, largely composed of current assets such as cash, short-term investments, and operating assets. Our financial position remains solid, with strong resilience and flexibility. In 2022, our total R&D spend was CNY161.5 billion, representing 25.1% of our total revenue – among the highest in Huawei's history. In times of pressure, we press on – with confidence."

 

 

In 2022, revenue from Huawei's carrier, enterprise, and consumer businesses was CNY284 billion, CNY133.2 billion, and CNY214.5 billion, respectively.

Huawei is a strong proponent of growing together with its ecosystem partners, and believes that openness and collaboration lead to shared success. The company has continued to open up its platform capabilities across its HarmonyOS, Kunpeng, Ascend, and cloud portfolio, focusing on improving developer experience as well as enabling and supporting its ecosystem partners on all fronts. Huawei currently works with more than nine million developers and over 40,000 ecosystem partners to fuel ecosystem-based innovation and create greater value for its customers.

"2023 will be crucial to Huawei's sustainable survival and development," Xu noted. "Plum blossoms tend to grow sweeter from a harsh winter's freeze. Today, Huawei is like a plum blossom. While it's true that we have considerable pressure ahead of us, we have what it takes to come out the other end – with opportunities to grow, a resilient business portfolio, a unique competitive edge, the enduring trust of our customers and partners, and the courage to invest heavily in R&D. We are confident in our ability to rise above any challenge that comes our way, laying a solid foundation for sustainable survival and development."

All financial statements in the 2022 Annual Report were independently audited by KPMG, an international Big Four accounting firm. To download the 2022 Annual Report, please visit https://www.huawei.com/en/annual-report/2022

Note: The 2022 closing exchange rate is US$1.00 = CNY6.9533

Monday, 6 March 2023

TASAC YATEKELEZA MIONGOZO INAYOTOLEWA NA MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO(e-GA)

 

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), Bw. Kaimu Mkeyenge akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dodoma.




Na Deborah Lemmubi - Dodoma.


Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), Bw. Kaimu Mkeyenge amebainisha kuwa Shirika linatekeleza miongozo inayotolewa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) katika kuhakikisha manunuzi, matumizi bora, sahihi na salama ya vifaa na mifumo yote ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) Serikalini yanazingatiwa.


Bwana Mkeyenge amebainisha hayo leo Machi 7,2023 Jijini Dodoma, wakati akitoa taarifa kwa Umma juu ya utekelezaji wa majukumu ya TASAC, pamoja na kubainisha Mafanikio waliyoyapata katika kipindi cha miaka miwili ya Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.



Aidha Mkeyenge amesema kuwa TASAC imeunganisha ofisi zake zote zikiwemo zile za Mikoa, Wilaya na mipakani kwenye Mkongo wa Taifa ambao umerahisisha na kuharakisha mawasiliano ya ndani (Intranet), barua pepe, na mawasiliano na wadau wa nje .


Na kuongeza  kuwa uendelezaji wa miundombinu na mifumo ya TEHAMA ulianza mwaka wa fedha 2018/19 na utakamilika mwaka wa fedha 2025/26 huku mifumo ambayo inayoboreshwa ndani ya Shirika ni pamoja na mfumo wa ukaguzi, usajili wa vyombo vya usafiri kwa njia ya maji na utoaji wa vyeti vya Mabaharia (Maritime Administration Management System), mfumo wa utoaji leseni, ukusanyaji wa mapato ya udhibiti, uhakiki kadhia na kutoa ankara za malipo ya watoa huduma wa meli (Manifest Billing System), pamoja na mfumo wa kutoa huduma za biashara ya Meli.


"Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) imetusaidia sana katika kuhakikisha manunuzi, matumizi bora, sahihi na salama ya vifaa na mifumo yote ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) Serikalini tunaitumia kwa mafanikio makubwa na tunaami mpaka mwaka wa fedha wa 2025/26 mifumo yote ndani ya Shirika itakuwa tayari,"

Na kuongeza  "mifumo ya TEHAMA ulianza mwaka wa fedha 2018/19 na utakamilika mwaka wa fedha 2025/26 huku mifumo ambayo inayoboreshwa ndani ya Shirika ni pamoja na mfumo wa ukaguzi, usajili wa vyombo vya usafiri kwa njia ya maji na utoaji wa vyeti vya Mabaharia (Maritime Administration Management System), mfumo wa utoaji leseni, ukusanyaji wa mapato ya udhibiti, uhakiki kadhia na kutoa ankara za malipo ya watoa huduma wa meli (Manifest Billing System), pamoja na mfumo wa kutoa huduma za biashara ya Meli".



Pia Mkeyenge amesema katika kuimarisha usimamizi wa usalama, ulinzi na utunzaji wa mazingira dhidi ya shughuli za meli na kupunguza matukio ya ajali za vyombo vya majini TASAC imefanya sensa na kaguzi za vyombo vya usafiri majini ambapo kaguzi 6,208 katika mwaka wa fedha 2021/22 zilifanyika na kaguzi 4,490 zilfanyika katika kipindi cha Julai 2022 mpaka Januari 2023 inayotarajiwa kufikia vyombo takriban 8,000 ifikapo mwezi Juni 2023.


"Tumefanya kaguzi za vyombo vya usafiri majini ambapo kaguzi 6,208 katika mwaka wa fedha 2021/22 na kaguzi 4,490 katika kipindi cha Julai 2022 mpaka Januari 2023 inayotarajiwa kufikia vyombo takriban 8,000 ifikapo mwezi Juni 2023".


Katika hatua nyingine amesema shirika hilo limefanikiwa Kuboresha ufanisi wa bandari kwa kupunguza uwezo wa shehena inayoruhusiwa kukaa bandarini kwa wakati mmoja (yard density) kutoka asilimia 65 hadi asilimia 50 kwa kuweka Amri ya Tozo ya Bandari Kavu ambapo wamefungua ofisi 11 za Shirika katika maeneo mbalimbali ili kusogeza huduma karibu na wananchi Shirika lina ofisi katika mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Mtwara, Tanga, Mwanza, Kagera, Mara, Kigoma, Rukwa, Ukerewe pamoja na Geita.


"Kuboresha ufanisi wa bandari kwa kupunguza uwezo wa shehena inayoruhusiwa kukaa bandarini kwa wakati mmoja (yard density) kutoka asilimia 65 hadi asilimia 50 kwa kuweka Amri ya Tozo ya Bandari Kavu ambapo wamefungua ofisi 11 za Shirika katika maeneo mbalimbali ili kusogeza huduma karibu na wananchi Shirika lina ofisi katika mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Mtwara, Tanga, Mwanza, Kagera, Mara, Kigoma, Rukwa, Ukerewe pamoja na Geita".


Hata hivyo TASAC imefanikiwa kukagua meli za kigeni 36 kwa kipindi kuanzia Julai 2022 hadi Disemba 2022, na kuanzia Januari 2023 tumekagua meli za kigeni 37 ambapo shirika linategemea kukagua meli 61 hadi kufikia juni 2023.


TASAC ilianzishwa chini ya kifungu cha 4 cha Sheria ya Uwakala wa Meli Tanzania, Sura 415 na kuanza rasmi kutekeleza majukumu yake tarehe 23 Februari, 2018. Kuundwa kwa TASAC ni hatua ya kisera ya Serikali, kwa upande wa Tanzania Bara, inayokusudia kukuza sekta za usafiri majini, kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma hususan kuchochea ukuaji wa uchumi wa Taifa kwa kuinua mchango wa usafiri kwa njia ya maji. Hii ni kwa sababu Tanzania ina ukanda mkubwa wa Bahari ya Hindi wenye urefu takriban Kilomita 1,424, Maziwa makubwa ya Victoria, Tanganyika na Nyasa

Saturday, 4 March 2023

OSHA YAFANIKIWA KUONGEZA MAENEO YA KAZI YALIYOSAJILIWA KWA ASILIMIA 276.

 

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya mahala Pa kazi (OSHA) Bi. Khadija Mwenda Akizungumza na Waandishibwa Habari Jijini Dodoma.



Na. Deborah Lemmubi -Dodoma.

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya mahala Pa kazi (OSHA) Bi. Khadija Mwenda amesema kuwa  kutokana na kuimarika kwa shughuli za usimamizi wa usalama na afya mahali pa Kazi, Wakala umefanikiwa kuongeza idadi ya maeneo ya kazi yaliyosajiliwa kutoka 4,336 hadi 11,953 ikiwa ongezeko hilo ni sawa asimilia 276 na idadi ya kaguzi zilizofanyika zimeongezeka kutoka kaguzi 104,203 hadi kufikia Kaguzi 322,241 sawa na asilimia 132.



Bi. Mwenda ameyasema hayo  Jijini Dodoma wakati akitoa taarifa kwa Umma kupitia vyombo vya habari juu ya  utekelezaji wa shughuli mbalimbali wa  Wakala hiyo,ambapo ni mwendelezo wa Taasisi za Serikali kutoa taarifa za utekelezaji wa Majukumu yao.




"Katika kipindi hiki cha miaka miwili kumekuwa na umarishaji mkubwa sana wa shughuli za usimamizi wa usalama na afya mahali pa Kazi ndio maana usajili wa maeneo ya kazi umeongezeka kwa asilimia 276 ambapo kuna ongezeko kutoka 4,336 hadi 11,953 na hata idadi ya kaguzi tulizoganya nazo zimeongezeka kutoka 104,203 hadi 322,241 sawa na asilimia 132 ni mafanikio makubwa haya"



Bi.Mwenda amesema kumekuwa na ongezeko la asilimia 175 ya Wafanyakazi waliopata mafunzo ya Usalama na afya mahali pa kazi kutoka wafanyakazi 32,670 hadi kufikia Wafanyakazi 43,318.



"Mafunzo haya yanajumuisha mafunzo ya usimamizi wa masuala ya usalama na afya mahali pa kazi na uundwaji wa kamati za Usalama na Afya (Health and Safety Managemnet System), mafunzo ya kufanya kazi za mazingira ya juu (working at height), mafunzo ya huduma ya kwanza, mafunzo ya usimamizi na udhibiti wa kemikali katika maeneo ya kazi, mafunzo ya usalama na afya katika sekta ya mafuta na gesi na katika sekta ya ujenzi na majenzi, mafunzo ya usalama wa mitambo". 


Aidha, Bi.Mwenda ameongeza kuwa kumekuwa na ongezeko la upimaji afya za wafanyakazi kwa asilimia 320. Upimaji afya kutoka Wafanyakazi 363,820 hadi kufikia Wafanyakazi 1,112,237 waliopimwa katika kipindi hicho cha miaka miwili ,kutotokana na kupunguzwa kwa ada mbalimbali na kuboresha mifumo ya usimamizi ambayo imewezesha maeneo mengi ya kazi kukaguliwa, wafanyakazi wengi kupimwa afya na mafunzo mbalimbali kufanyika, ongezeko hili ni tafsiri kwamba hali ya usalama na afya  katika maeneo ya kazi inazidi kuimarika.



Katika kusimamia Sheria ya Usalama na Afya kwa lengo la kuzuia ajali Bi.Mwenda amesema magonjwa na vifo vitokanavyo na kazi, maeneo ya kazi ambayo hayakuzingatia Sheria na Kanuni za Usalama na Afya yalichukuliwa hatua mbali mbali za kisheria zikiwemo kupewa hati ya maboresho (Improvement Notice) ambapo maeneo ya kazi 1,588 yalipewa hati hizo na maeneo ya kazi mengine 105 yalitozwa faini. 



Mtendaji Mkuu huyo  amebainisha kuwa ,miongoni mwa majukumu ya OSHA ni kuchunguza ajali mbali mbali zinazotokea katika sehemu za kazi kwa lengo la kubaini vyanzo vya ajali hizo ili kushauri namna bora ya kuzuia ajali kutokea tena.



" Katika kipindi cha miaka miwili, ajali zilizoripotiwa zilipungua kwa asilia 13.2 kutoka ajali 2,138 kupungua hadi kufika 1,855.  Magonjwa yanayotokana na kazi yalipungua kwa asilimia 22.1 kutoka wagonjwa 140 kufikia wagonjwa 109".



Katika hatua nyingine Bi.Mwenda asema kuwa katika kipindi hicho cha miaka miwili ya Utawala wa serikali ya Awamu ya Sita,OSHA wamefanikiwa Kupunguza Urasimu na kuboresha   Mifumo ya TEHEMA,ambapo mifumo ya TEHAMA kama TANEPS, GePG, GAMIS, MUSE, E-office imesimikwa na inatumika na imekuwa ni nyenzo muhimu katika kutoa huduma.



"Kwa kutumia mifumo hiyo imetusaidia kupunguza muda wa kupata Cheti cha Usajili wa sehemu za kazi kutoka siku 14 hadi siku 1 kwa kuwa usajili unafanyika kwa njia ya kielektroniki na ambapo mteja ana uwezo kuprinti cheti chake cha usajili popote alipo (Online registration),Kutoa Leseni ya Kukidhi Matakwa ya Sheria ya Usalama na Afya mahali pa kazi (Compliance License) kutoka siku 28 hadi siku 7 kwa sasa".



Dhima kuu ya  Wakala wa Usalama na Afya Mahali Pa Kazi(OSHA), ni kuelimisha na Kuhamasisha masuala ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi kwa kuweka mifumo thabiti itakayo zuia ajali, magonjwa na vifo pamoja na uharibifu wa mali ili kupunguza gharama za uendeshaji na kukuza uchumi wa Taifa.

NEMC YASHUGHULIKIA MALALAMIKO TAKRIBANI 369 YA UCHAFUZI NA UHARIBIFU WA MAZINGIRA NCHINI.


Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira {NEMC} Dkt. Samwel Gwamaka akizungumza na Waandishi wa Habari kwenye ukumbi wa Habari Maelezo Jijini Dodoma.


Na Deborah Lemmubi - Dodoma.



Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira {NEMC} Dkt. Samwel Gwamaka ameeleza kuwa katika kipindi cha Julai 2021 hadi Februari 2022, Baraza limepokea na kushughulikia malalamiko takribani 369 ya Uchafuzi na Uharibifu wa Mazingira kutoka kwa wananchi ikiwemo kuvuja kwa mafuta kutoka kwenye mabomba ya mafuta ,kuchoma taka hatarishi chini ya kiwango kinachotakiwa kisheria.


Dkt. Gwamaka ameeleza hayo leo Machi 3,2023Jijini Dodoma wakati akielezea kuhusu  mafanikio ya Baraza hilo katika kipindi cha miaka miwili ya Utawala wa serikali ya Awamu ya Sita chini ya Raisi Dkt. Samia Suluhu Hassan.


Ambapo Dkt.Gwamaka amesema malalamiko hayo yalihusisha uchafuzi wa vyanzo vya maji, utiririshaji wa maji taka ,uchafuzi wa hewa kutokana na shughuli za viwandani,kelele za muziki,kushamiri kwa gereji bubu maeneo ya makazi,kushamiri vituo vya mafuta katikati ya makazi ya watu,matumizi ya mifuko ya plastiki iliyokatwa na kutapaka maeneo ya makazi na kuhakikisha inatoa elimu elimu sahihi na suluhisho juu ya jambo husika.

Aidha Dkt Gwamaka amesema Baraza limefanikiwa kusajili miradi 1702 ambapo kati yake 967 ni ya {TAM} na 735 ni ya ukaguzi wa Mazingira.


"Kwa kupitia taarifa ya Tathimini ya Athari kwa Mazingira katika kipindi cha Julai 2021 hadi Februari 2022 Baraza limefanikiwa kusajili miradi 1702 ambapo kati yake 967 ni ya {TAM} na 735 ni ya ukaguzi wa Mazingira".


Katika hatua nyingine Dkt.Gwamaka amebainisha kuwa Baraza hilo limetoa Jumla ya Vibali 174 vya kushughulika na taka hatarishi ndani ya Nchi ambapo vibali 10 vya kuingiza na kusafirisha nje ya Nchi na kupelekea kiasi cha Tani 516,041 za taka mbalimbali kukusanywa na makampuni yenye vibali.

"kukusanywa huku kwa tani 516,041 za taka inaonesha jinsi Braza linavyowajibika katika kuhakikisha Sheria ya Mazingira inayozingatia uhifadhi na utunzaji wake unazingatiwa na ndio maana pia tumetoa jumla ya vibali 174 vya kushughulika na taka hatarishi ndani ya Nchi yetu .


Hata hivyo amebainisha usimamizi wa tafiti za Mazingira huku ikifanikiwa kuratibu uteuzi wa Eneo la Rufiji-Mafia-Kibiti-Kilwa {RUMAKI} ikiwa na lengo la kujumuishwa katika mtandao wa kidunia wa Hifadhi za Binadamu na Hifadhi hai.

Thursday, 2 March 2023

WCF KUENDELEA KUBORESHA HUDUMA MUHIMU KWA WADAU NCHINI KWA NJIA YA MTANDAO.

MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi {WCF} Dkt. John Mduma akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma Leo March 2,2023.


Na Deborah Lemmubi - Dodoma.



MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi {WCF} Dkt. John Mduma amesema kuwa mfuko umeendelea kuboresha huduma muhimu kwa wadau nchi nzima kwa njia ya mtandao ili kufikia malengo ya Mfuko huo.


Huduma hizo za kimtandao ni pamoja na Usajili wa wanachama ambapo wanachama wa Mfuko huo ni Waajiri, kupata cheti cha Usajili,kuwasilisha michango kila mwezi na Mfuko unapokea mchango kupitia nambari ya Udhibiti ambayo hupatikana kwa njia ya Mtandao.



Dkt. Mduma amebanisha haya wakati akitoa taarifa ya Utekelezaji wa Shughuli mbalimbali za Mfuko huo leo Machi 2,2023, Jijini Dodoma na kusema hadi kufikia Juni 30 2022 Mfuko umekusanya kiasi cha Shillingi Bilioni 241.48 ikiwa ni kutokana na mapato ya uwekezaji.


"Hadi kufikia tarehe 30 June 2022,Mfuko umekusanya jumla ya Shillingi Billioni 241.48 toka kwenye mapato yanayotokana na uwekezaji"


Aidha amesema kuwa kabla ya kuanzishwa kwa WCF malipo ya fidia nchini kwa mwaka mzima yalikuwa chini ya Shillingi millioni 200 lakini baada ya kuanzishwa kwa Mfuko huo malipo yanaongezeka kila mwaka.

"Mfuko huu umekuwa na faida kubwa kwani lengo,lake kubwa ni kuwakomboa wafnykazi waliopata madhili ama majanga wakiwa kazini kutoka katika dimbwi la umasikini ambapo takwimu za hivi karibuni zikionesha tangu kuanzishwa, idadi ya wanufaika wa Mfuko imefikia 10,454 ambao wamelipwa jumla ya shilingi Billioni 49.44".


Katika hatua nyingine,Dkt.Mduma amesema kwa kipindi cha kuanzia Mwezi Machi 2021 hadi Februari 2023 Waajiri wapya 5,250 wamejisajili WCF huku kati ya waajiri hao asilimia 99.27% ni waajiri wakubwa ,huku asilimia 98.71% ni waajiri wa kati na waajiri wa chini ni asilimia 88.56%.


"Waajiri wengi kwa sasa wanavutiwa kujisajili na WCF kutokana na Serikali sikivu ya awamu ya sita kupunguza kiwango cha mchango kwa sekta binafsi kutoka asilimia 1 ya hapo awali kabla ya maboresho ya kisera hadi asilimia 0.5 ya sasa hivyo kuleta mlingano wa michango kuwa sawa na sekta za umma,"


Na kuongeza kuwa "Lakini serikali pia imeendelea kuleta unafuu kwa waajiri kwa kupunguza kiwango cha kodi ya malimbikizo ya madeni ya michango ya nyuma kutoka asilimia kumi (10%) hadi asilimia mbili (2%)


Hata hivyo kumekuwa na ongezeko kubwa la waajiri kujisajili kwenye Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi {WCF} katika kipindi cha Awamu ya Sita.


Wednesday, 1 March 2023

TPHPA YABAINISHA KUWA UDANGANYIFU WA WAUZAJI NA MATUMIZI YASIYO SAHIHI YA VIUATILIFU NI KIKWAZO KUKABILIANA NA WADUDU WAHARIBIFU WA MIMEA NCHINI.

 


Kaimu Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Afya ya mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) Prof. Joseph Ndunguru akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma.



Na Deborah Lemmubi - Dodoma.


KAIMU Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Afya ya mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) Prof. Joseph Ndunguru amebainisha kuwa  Matumizi yasiyosahihi ya viuatilifu na udaganyifu wa baadhii ya wauzaji wa viuatilifu na mazao ya mimea imekuwa kikwazo katika kukabiliana na wadudu waharibifu wa mimea hapa Nchini.

Prof. Ndunguru amebainisha haya Jijini hapa leo Machi 1,2023  wakati akizungumza na wanahabari akielezea kuhusu majukumu na utekelezaji wa shughuli mbalimbali za Mamlaka hiyo kwa mwaka 2022/2023.
Prof. Ndunguru amesema kuwa Uelewa mdogo wa wakulima na wadau wengine juu ya matumizi sahihi ya viuatilifu, na uwepo wa wauuzaji wa Viuatilifu na mazao ya mimea wasio waaminifu imesababisha kuendelea kuwepo kwa wadudu wasumbufu wa mimea.

“Matumizi yasiyosahihi ya viuatilifu na udaganyifu wa baadhii ya wauzaji wa viuatilifu changanya na Uelewa mdogo wa wakulima na wadau wengine juu ya matumizi sahihi ya viuatilifu, na uwepo wa wauuzaji wa Viuatilifu na mazao ya mimea wasio waaminifu imesababisha kuendelea kuwepo kwa wadudu visumbufu wa mimea".

Aidha ameeleza madhara ya kutumia viuatilifu visivyo sahihi kwa wakulima kuwa inawaongezea gharama kwa sababu mkulima analazimika kutumia viuatilifu vingi  na inaathiri afya yake na mazingira kwa ujumla.

“Madhara ni mengi ndio maana tulitilia mkazo kwa kuwajengea uelewe wakulima juu ya matumizi sahihi ya viuatilifu sababu wanapopulizia viuatilifu visivyosahihi vinawajengea usugu wadudu waharibifu na kuuwa wadudu rafiki wa mimea".

Akitoa takwimu za Uchambuzi wa sampuli mbalimbali zilizofanywa na  Mamlaka hiyo ,Prof. Ndunguru ameeleza kuwa sampuli 1025 za viuatilifu (analysis of pesticide samples) ambazo zimeshafanyika ikiwa sampuli 1005 sawa na asilimia (98.04%) zilikidhi viwango huku sampuli 20 (1.96%) zimeonesha kutokidhi viwango.

Na kusema kuwa Jumla ya viuatilifu vipya 409 na kampuni za ufukizaji
198 vilisajiiliwa huku Vibali vya shehena za viuatilifu 1324 vyenye ujazo wa lita 58,379,97.98 na kilogram 3,880,772.77 ambapo Jumla ya vibali vya maduka 802 vilitolewa kwa wafanyabiashara wa Viuatilifu.

''Jumla ya viuatilifu vipya 409 na kampuni za ufukizaji 198 vilisajiiliwa Vibali vya shehena za viuatilifu 1324; ujazo wa lita 58,379,97.98 na kilogram 3,880,772.77 Mapato kiasi cha TZS Bilioni 3.06 Jumla ya vibali vya maduka 802 vilitolewa kwa wafanyabiashara wa Viuatilifu''.

Aidha amesema Mamlaka kwa kushirikiana na Wizara ya kilimo imefanya uchambuzi wa sampuli za udongo takribani 1300 kutoka kwenye mashamba ya “Block farming”na kutumia Matokeo ya uchambuzi yatawezesha kutoa ushauri kulingana na eneo husika.

Majukumu ya mamlaka hii ya afya ya mimea na viuatilifu ni Kuwezesha biashara ya mimea na mazao ya mimea hapa nchini na kimataifa Pamoja na Kudhibiti uagizaji, usafirishaji, utengenezaji, usambazaji, uuzaji, matumizi ya viuatilifu na vifaa vya unyunyiziaji wa viuatilifu.

Tuesday, 28 February 2023

KATIBU MKUU DKT. YONAZI APOKELEWA RASMI OFISI YA WAZIRI MKUU AOMBA USHIRIKIANO.



Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi akipokea ua kutoka kwa Mwandishi Mwendesha Ofisi  kutoka Ofisi hiyo Bi. Tusekile Mwakangata mara baada ya kuwasili rasmi katika Ofisi hiyo,  Februari 28, 2023 Jijini Dodoma.


Watumishi Ofisi ya Waziri Mkuu wakimsikiliza Katibu Mkuu Ofisi hiyo, Dkt. Jim Yonazi (hayupo pichani) wakati wa hafla ya mapokezi mara baada ya kuwasili rasmi Ofisini hapo Jijini Dodoma tarehe 28 Februari, 2023. 



NA. MWANDISHI WETU- Dodoma

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi  amepokelewa rasmi  katika Ofisi ya Waziri Mkuu  hii leo Februari 28, 2023 Jijini Dodoma na kutoa wito kwa Menejimenti na watumishi wa ofisi hiyo kuendelea kutoa ushirikiano katika utekelezaji wa majukumu kwa lengo la kuleta ufanisi.

Mkurugenzi Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Stella Mwaiswaga akizungumza na watumishi wa ofisi hiyo wakati wa haflaya kumpokea kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi.

 

Dkt. Yonazi amewasihi watumishi hao kufanya kazi kwa juhudi, upendo na Amani ili kuwatumikia wananchi na kuifaya Ofisi ya Waziri Mkuu kuendelea na jukumu lake kubwa la kuratibu shughuli za Serikali kwa matokeo chanya.

Baadhi ya Watumishi Ofisi ya Waziri Mkuu wakimsikiliza Katibu Mkuu Ofisi hiyo, Dkt. Jim Yonazi (hayupo pichani) wakati wa hafla ya mapokezi.

 

Katika hafla hiyo ya mapokezi amewasihi watumishi kuwa wamoja na kufanya kazi kwa weledi zaidi huku akiwashukuru kwa mapokezi mazuri.

Nimshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Sulluhu Hassan kwa kuniteua kuitumikia nafasi hii, ikumbukwe  kuwa tuna jukumu kubwa la kuwatumikia wananchi hivyo tufanye  kazi kwa juhudi huku tukidumisha ushirikiano, Alieleza Dkt. Yonazi.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi akizungumza na Watumishi wa Ofisi hiyo Februari 28, 2023Jijini Dodoma.

 

DKT.NDUMBARO AMEWATAKA VIONGOZI WA TAASISI ZA UTOAJI HAKI KUSHIRIKIANA KATIKA KUONDOA VIKWAZO VINAVYOKWAMISHA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA WATOA TAARIFA

 


Na.Mwandishi Wetu,

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.Dkt.Damas Ndumbaro ,amewataka viongozi wa taasisi za utoaji haki kushirikiana katika kuondoa vikwazo vinavyokwamisha utekelezaji thabiti wa Sheria ya watoa Taarifa na Ulinzi wa Mashahidi ili kufikia malengo yaliyokusudiwa.


Dkt.Ndumbaro ameyasema hayo leo Februari 28,2023 Jijini Dodoma, wakati wa hafla ya uzinduzi wa Kanuni za watoa taarifa na Ulinzi wa Mashahidi ,ambapo amesema kuwa taarifa zinaonesha kuwa utayari wa wananchi kutoa taarifa umeongezeka na walio wengi wako tayari kushiriki katika mapambano dhidi ya uhalifu kwa kufika katika vyombo vya sheria.

Amesema kuwa watanzania wakishiriki kwa pamoja katika kufichua maovu yakiwemo yanayosababisha hasara kwa taifa utasaidia kukuza uchumi na kuweka mazingira wezeshi kwa uwekezaji.

4I6A6210.JPG


"Ili tufikie malengo yaliyokusudiwa ya kuhakikisha tunafichua kila aina ya maovu yanayotokea ikiwemo ufisadi,ukiukwaji wa haki za binadamu na matumizi mabaya ya madaraka na mengine mengi yaweze kuripotiwa bila woga kwa maslahi mapana ya nchi yetu,"

Na kuongeza kuwa "Niwaombe tuendelee kutoa elimu ya kisheria kwa umma wa watanzania kuhusiana na sheria na kanuni tajwa ili wawe na uelewa na wajue umuhimu wa kuwafichua wahalifu wa makosa mbalimbali yanayotendeka katika jamii yetu ili mwisho wa siku matukio ya kiuhalifu yapungue na na hatimaye kuisha kabisa,"amesema Dkt.Ndumbaro

4I6A6242.JPG

Pia Dkt.Ndumbaro amewataka wananchi kutohofia kujitokeza kutoa taarifa za uhalifu na matendo ya aina zote yanayofanywa kinyume cha sheria, kwani taarifa hizo zitakuwa siri na zitafanyiwa kazi bila ya kuwataja watoa taarifa , pia mashahidi wanapotakiwa kufika mahakamani wasiogope kwani Kanuni hizo zinaweka mfumo wa kuwalinda ambao unaeleza masharti na namna za ulinzi huo.

"Kanuni hizi zinalenga kurahisisha utekelezaji wa Sheria na kuongeza ufanisi katika utekelezaji na kufikiwa kwa madhumuni ya Sheria. Sambamba na hilo, Kanuni hizi zitasaidia kuwapatia ulinzi wa kisheria wale wote wanaotoa taarifa za uhalifu wa makosa ya aina mbalimbali na hivyo kuwaongezea imani na usalama wao na hivyo kurahisha uendeshaji wa mashtaka,"amesisitiza Dkt.Ndumbaro

4I6A6230.JPG

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Idara ya Katiba na ufuatiliaji Haki Kharist Luanda amesema kuwa kuzinduliwa kwa kanuni hizo inafungua milango kwa wananchi kuanza kutoa taarifa mbalimbali kwa kujiamini kwani kanuni hizo zimebainisha namna watoa taarifa na mashahidi watakavyopatiwa ulinzi.

"Kanuni hizi ni muhimu sana kwani zinamuhakikishia ulinzi mtoa taarifa na shahidi na kumtengenezea uhuru hata wakati wa kutoa ushahidi mahakamani kwa sababu kanuni hizi zimeshamuhakikishia usalama,"amesema Luanda


Kanuni hizo za Watoa Taarifa na Ulinzi wa Mashahidi zimekuja baada ya Serikali, mwaka 2016 kuanza kutekeleza Sheria ya Watoa Taarifa na Ulinzi wa Mashahidi ya mwaka, 2016 (The Whistleblower and Witness Protection Act. 2016 ,sheria hiyo ikiwa na lengo la kuimarisha misingi ya utoaji haki jinai na kukuza utawala bora na mapambano dhidi ya uhalifu nchini.

RESHAPING INDUSTRIES WITH AI:HUAWEI CLOUD LAUNCHES PANGU MODELS 3.0 AND ASCEND AI CLOUD SERVICES

Zhang Ping'an, Executive Director of Huawei and CEO of Huawei Cloud, announcing Pangu Models 3.0. [Dongguan, China, July 7, 2023] The...